Upungufu wa Nguvu za Kiume ni
hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamililifu au kushindwa kusimamisha vizuri,
shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, misuli, hisia na
mirija ya damu. Tatizo hili huripotiwa kuwa katika nusu ya wanaume. Upungufu wa
nguvu za kiume huashiria ugonjwa na kuvuruga ndoa za watu, ni tatizo
linalohitaji tiba.
Vifuatavyo ni vyanzo vya upungufu wa nguvu za kiume:
1.
Kuzidiwa na wingi wa halemu
(Cholesterol), Shinikizo la damu (B.P) na ugonjwa wa moyo
2.
Kuvuta sigara na unywaji wa
pombe
3.
Uzito kupita kiasi na unene
uliozidi (kitambi)
4.
Ulaji holela wa vyakula vyenye
mafuta mengi na sukari nyingi
5.
Ugonjwa wa Kisukari (diabetes)
6.
Kuwa na mawazo na wasiwasi (stress)
7.
Matumizi ya madawa mbalimbali
(drug abuse)
8.
Uzee
9.
Kuwa na tatizo la kibofu
10.
Tabia za kujichua kwa mda
mrefu (masturbation)
11.
Kutopata usingizi kamili
12.
Matumizi makubwa ya dawa zenye
kemikali za kutibia magonjwa kama kansa, vidonda vya tumbo, moyo, kisukari,
B.P, na magonjwa mengine
Zifuatazo ni dalili za upungufu wa nguvu za kiume:
1.
Kuwahi kufika kileleni
2.
Kukosa hamu ya mapenzi
3.
Kushindwa kurudia tendo la
ndoa
4.
Uume kusimama kwa uregevu au
kushindwa kusimamisha
5.
Kuchoka sana baada ya tendo la
ndoa na hata kukinai kabisa au hata kusikia kichefuchefu; Miguu, uso na tumbo
kuvimba na kujaa maji
6.
Kuhisi maumivu wakati wa tendo
la ndoa au baada ya tendo hilo
7.
Kuchelewa sana kufika kileleni
(au kushindwa kufika kileleni kabisa)
8.
Kukosa pumzi na uchangamfu wa
mwili katika utendaji
Yafuatayo yanasaidia kupunguza au kuondoa kabisa tatizo la nguvu za
kiume:
1.
Fanya mazoezi – Angalau ya dakika
30 kwa siku
2.
Kula vyakula asilia na nafaka
kamili yaani zisizokobolewa
3.
Usile vyakula vyenye mafuta
mengi na sukari nyingi
4.
Tibu magonjwa yako yanayokuweka
hatarini kama kisukari, moyo, punguza unene na mengine
5.
Punguza kiwango cha halemu
(choresterol) au mafuta yaliyozidi
6.
Usivute sigara
7.
Punguza au acha kunywa pombe
8.
Punguza mawazo
9.
Lala vizuri kwa muda mzuri –
masaa 7 hadi 9
10.
Usitumie dawa zenye kemikali
nyingi kwani huathiri mfumo wa uzazi
11.
Kunywa maji ya kutosha
TIBA MADHUBUTI
Matibabu ya nguvu za kiume na
vyanzo vyake yanatibiwa kikamilifu kwa virutubisho vinavyotokana na vyakula. Tuwasiliane
tukupe ushauri na utaratibu wa matibabu, utapona, insha Allah.
MAWASILIANO
Dk. Kabavako
Mtaa wa Lake Tanganyika, Kata
ya Buzebazeba, Manispaa ya Kigoma Ujiji.
S.L.P 1011 Kigoma
0757461144 /0621551203
Maoni
Chapisha Maoni